Hamisa Mobetto na Zari the bosslady ni
wanawake ambao kwa sasa wamekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii na
mashabiki zao wamekuwa wakihusisha gumzo hilo kutokana na wao kuzaa na
staa Diamond Platnumz japo kuwa hawako sawa kutokana na kuonekana mara kadhaa wakirushiana vijembe kupitia kwenye mitandao ya kijamii.

Comments
Post a Comment